Tuesday, November 27, 2012

WAFANYABIASHARA WATANO WENYE UTAJIRI WA KUTUPWA TANZANIA:

Said Bakhressa Gulam Dewji, Rostam Aziz, Reginald Mengi na Ali Mufuruki, wametajwa na Jarida la Ventures Africa linalozungumzia masuala mbalimbali ya uchumi wa Afrika kuwa ndiyo matajiri zaidi nchini.

Anayeongoza katika orodha hiyo ni Bakhressa anayemiliki mali na fedha zenye thamani ya Dola za Marekani 620 milioni sawa na Sh992 bilioni (D
ola moja Sh1,600) akifuatiwa na Dewji ambaye utajiri wake ni Dola 560 milioni (Sh896 bilioni). Wengine na kiasi cha mali na fedha wanazomiliki kwenye mabano ni Rostam (Sh672 bilioni- Dola 420 milioni) Mengi (Sh448bilioni- Dola 280 milioni) na Mufuruki (Sh176 bilioni - Dola 110 milioni).

Matajiri hao wamepatikana baada ya kuangalia nafasi zao kifedha, ufanisi wa kampuni zao katika soko la hisa, mfumo wa wanahisa katika soko la hisa na mtiririko mzima wa fedha katika akaunti zao kwenye benki mbalimbali.

Jarida hilo linalotoka mara moja kwa mwezi kutoka Afrika Magharibi, limesema matajiri hao wa Tanzania ni kati ya Waafrika wenye utajiri ambao ni mabilionea 4,800 kutoka mataifa 17.
Asilimia kubwa ya watu 1,523 ni mamilionea na wamo katika ripoti ya watu matajiri Afrika.
Jarida hilo linataja jinsi matajiri hao walivyokuwa wajasiriamali wadogo kabla ya kuibuka na kuwa mabilionea.

Said Salim Bakhresa
Jarida hilo limesema chanzo cha utajiri wa Bakhressa ni mapato yanayotokanana uzalishaji wa bidhaa mbalimbali kwenye viwanda vyake.

Mfanyabiashara huyo aliacha shule akiwa na umri wa miaka 14 na kuanzisha biashara zake. Alianza kuuza urojo Zanzibar na baadaye alifungua mgahawa miaka ya 1970.

Mgahawa huo ulipanuka na alitumia faida yake kufungua mashine ya kusaga pamoja kiwanda za usindikaji vyakula, huku akiunda Kundi la Makampuni ya Bakhressa.
Aliendelea kusindika vyakula mbalimbali na kutengeneza unga wa mahindi na baadaye kuanzisha kiwanda cha kuoka mikate na baadaye kutengeneza chocolate, ice cream, vinywaji na makasha ya kufungashia bidhaa. Kutokana na shughuli hizo, kwa mwaka huingiza Sh800 milioni.
Kampuni zake kwa sasa zinafanya biashara mbalimbail katika nchi za Tanzania, Uganda, Malawi, Rwanda na Msumbiji na ameajiri zaidi ya wafanyakazi 2,000.

Gulam Dewji
Mfanyabiashara huyo ana utajiri unaokadiriwa kufikia Dola 560 milioni kutokana na kuzalisha bidhaa na kutoa huduma mbalimbali.
Ni mmoja wa mataikuni wa Tanzania tangu miaka ya 1970 na kazi yake kubwa ilikuwa kuingiza bidhaa mbalimbali kutoka nje.

Alianza na kampuni ndogo aliyoiita Mohammed Enterprises Tanzania, ambayo kwa sasa ni kati ya kampuni kubwa Afrika Mashariki na Kati.
Miongoni mwa mali zake ni Kiwanda cha 21st Century Textiles, moja ya viwanda vikubwa vya nguo Kusini mwa Jangwa la Sahara. Kampuni yake ina viwanda vinne, Tanzania na Msumbiji huku ikizalisha Dola 100 milioni kwa mwaka. Pia kampuni hiyo husindika juisi kwa matunda ya Tanzania, mafuta ya kula, sabuni na tishu.

Kampuni hiyo pia inamiliki kampuni ya bima, makontena, kampuni za kuuza mafuta ya petroli na maduka ya kuuza bidhaa mbalimbali zaidi ya 100 Tanzania nzima.
Hata hivyo, Gulam alisema jana kwamba takwimu zilizotolewa zimekosewa. Alisema kwa sasa yuko nje ya Dar es Salaam na atatoa taarifa sahihi atakaporejea.
“Kuna baadhi ya tarakimu zimekosewa niko Morogoro kuangalia biashara zangu nikirudi Dar es Salaam nitazungumza,” alisema Dewji.

Rostam Aziz
Ameelezwa kuwa utajiri wake umetokana na kuendesha shughuli zake mbalimbali ikiwamo kampuni za mawasiliano ya simu, madini na biashara za usafiri wa meli.
Mwanasiasa huyo mwenye asili ya Asia, alichaguliwa kwa mara ya kwanza kuwa Mbunge wa Igunga mwaka 1993 na alishinda kwa vipindi viwili.

Aliachana na ulingo wa siasa mwaka 2011. Anamiliki asilimia 19 ya Hisa za Kampuni ya Vodacom ambayo ina wateja zaidi ya milioni nane.

Ameelezwa pia kuwa anamiliki Kampuni ya Ujenzi ya Caspian na sehemu ya Bandari ya Dar es Salaam kwa kushirikiana na Kampuni ya Hutchison Whampoa ya Hong Kong.
Akizungumzia utafiti huo, alisema: “Umefanyika kwa umakini isipokuwa tu kwa upande wangu wanasemas ninamiliki asilimia 19 ya Kampuni ya Vodacom kitu ambacho si sawa kwani ninamiliki asilimia 35.”

Reginald Mengi
Mengi anakimiliki kampuni mbalimbali ikiwemo vyombo vya habari, viwanda vinavyozalisha vinywaji baridi vya Coca-Cola na ana mgodi wa dhahabu.

Mfanyabiashara huyo baada ya kufanya kazi ya uhasibu ambayo ndiyo taaluma yake, alifanya biashara ya kutengeneza kalamu za wino zilizopata soko kubwa Afrika Mashariki.
Leo hii, IPP Group ambayo Mengi ni mwenyekiti wake, inamiliki magazeti mbalimbali ikiwemo Financial Times, ThisDay na The Guardian, televisheni mbili kubwa Afrika Mashariki na Kati EATV na ITV na vituo vya redio. Anamiliki Kampuni za IPP Gold na Handeni Gold.

Ali Mufuruki
Utajiri wake unatokana na biashara mbalimbali za rejareja na za ushirika.
Ni mwanzilishi na Mwenyekiti Mtendaji wa Tanzania Infotech Investment Group.
Kampuni hiyo inajumuisha Watanzania na Waganda kwa ajili ya kuuza bidhaa za Afrika Kusini za Woolworth.

Infotech hufanya kazi ya uendelezaji makazi na ukodishaji, matangazo na shughuli za mawasiliano.

Tuesday, November 20, 2012

Customer is always the King

In Business we have to value Customers needs and wants!!! "Customer is always the King...! 
Value the Voice of Your Customers!!
Let your Employees or Partners Satisfy your Customers at their Optimal 



Life is About Choices


What do you Prefer most
a. To own a Big Company 
b.To work in a Big Company 


for  a  "like"    for  b drop your "comment" 

Friday, October 26, 2012

Wezeshwa na Safari Lager 2012 New Season Lauching

Tanzania Breweries Limited through its Safari Brand has once again launched its Wezeshwa na Safari Lager Program. Following the success from last year, Safari Lager has decided to extend its support to many other entrepreneurs this year 2012. Experts from TAPBDS CO.LTD shall be handling all the technical areas of the program up to the acquisition of final grantees. Therefore we are encouraging entrepreneurs from all angles of Tanzania to make use of this valuable opportunity so that they get supported in their business expansion process. For those interested to participate just find some more information via www.wezeshwa.co.tz
Safari Manager Oscar Shelukindo addressing the Press during the official launching of Wezeshwa na Safari Lager phase two.
Joseph Migunda together with the Wezeshwa Team addressing a Press during the launching of Wezeshwa na Safari Lager phase two. From far right is Laurance (Operation Manager at ICL), Oscar Shelukindo (Safari Lager Brand Manager) and Edwin Mengistu (TAPBDS Official).
www.bdsprofessionals.co.tz/index.php/2012-02-13-17-03-05/events/125-wzeshwa-na-safari-lager-launching-event

Get a Free Fax Right on your email


Fax is one of the Most important communication to the Corporate world of 21st century; 
The benefits of Free Fax to Email in Tanzania.
  • Businesses, Companies, Government Departments, Corporations and Individuals receive free Tanzania Fax Numbers from us. 
  • We link your 0736 fax number to your email address. Your faxes will go directly into your email address as a file attachment.
  • When someone fax to your number, your fax gets emailed to you as an image file attachment (in PDF Format) - instantly, free of charge and ready to view.
  • There is NO COST involved to use our service (as seen in South Africa for many years). Our service is and remains a FREE service. There are no setup cost, no monthly cost, no contracts, no subscription charges, no installation cost, no maintenance cost, no capital investment required, and you do not need to buy a fax machine or to pay for a fax line rental. 
  • Our fax to email service is completely secure (encrypted), private and safe, and is powered and licensed by TTCL - your trusted partner in Tanzania. Our Fax Servers are located in the TTCL Head Office in Dar es Salaam from where it is managed and maintained. You can read the letter from TTCL about free fax to email here.
  • Your fax number is and remains free of charge. Please ensure to receive at least 1 fax on your number every 3 months, for your number to remain active.
  • No software or hardware or technical knowledge is required to use our system - you receive your faxes right into your email. It is an easy to understand service and anyone can use it.
  • You can receive any number of faxes on your free number. The service is free no matter how many faxes you receive.
  • You can receive more than one fax at the same time from different senders – your fax number is never engaged.
  • Multiple faxes are received more quickly.
  • You can receive multiple-page documents instantly.
  • You can view your faxes wherever you can access your email – anywhere in the world.
  • You receive free dedicated and professional Customer and Technical Support from us.
  • You can manage your faxes easily on your computer – only print out the ones that you really need, and organise your faxes the way you want to.
  • You will save on paper and printer ink cost as you only need to print out the faxes that you really need.
  • Make life easier in your Company or Corporation by getting a different fax number for each Department. This will eliminate queues at the fax machine and avoid losing important documents at the fax machine. Faxes will go straight to the correct Person, in the correct Department.
  • Save money by using our free fax service: No more fax line rental, fax machine purchase, fax machine maintenance, and unnecessary ink, paper and toner costs as you only print out the faxes that you require a hardcopy of.
  • Your 0736 fax number is not restricted by an area code and can be dialed from anywhere in Tanzania. It can also be dialed from other countries in the following format +255736...
  • Your fax number operates on existing professional infrastructure in the TTCL Headoffice in Dar es Salaam (tried and tested) at no charge. Confidentiality is guaranteed and you have sole access to the fax documents in your email. The fax transmission is encrypted meaning our service is completely safe and secure to use.
  • Our fax to email system assures everyone of privacy, as faxes are delivered directly to the correct person's email.
  • You can keep your fax number for life – just receive at least 1 fax on your fax number every 3 months for your free fax number to remain active.
  • You will have a separate fax number for your Business or Company than your standard phone number. This will give your Company a more professional image. 
  • If your email address changes, you can keep the same fax number. Just contact us and we will change the email address for you - this is truly a free fax number for life.

www.faxtanzania.com/faxnumberbenefits.html

Thursday, September 6, 2012

8 Common Legal Mistakes That Startups Make

When you decide to start up a company it can be very exciting yet exhausting at the same time. You are filled with joy but at the same time you can’t wait to get everything started and going as well. Throughout the process there are some things that you may accidentally forget or even do by mistake. Some of the most common mistakes startups make are often the ones that they end up regretting down the line.

1) Failing To Incorporate
Some startups need to incorporate. Not choosing the right corporate structure, or failing to choose one at all, could put the company’s officers at risk. This is especially important if the startup is going to be doing business in a high-risk industry like the medical industry.

2) Incorporating Too Early
Some companies don’t need a corporate structure when they are first beginning. However, being new to the business world it is easy for one to think that they do and the consequences of incorporating to early are usually very severe.

3) Failing To Copyright Material
A company that publishes information of any kind should copyright everything it produces. Copyright protection ensures that no other individual or business may use the material in any form without the expressed written consent of the business. However, when first entering the business world many business owners have copyright out of their minds. They never think that it is something that they need yet as time goes on it is something that they wish they would have invested a little bit of time into.

4) Failing To Use Trademarks
When a business creates a unique logo or slogan, it’s a good idea to trademark it. This is especially true if the company plans on growing in size. The time to file a trademark is before any legal battles begin, not after they’ve started.

5) Failing To Use Patents
When a company invents something, it’s a good idea to patent it. It’s not always obvious, but that invention may later lead to other inventions that depend on the first invention. If no patents are filed on the first invention, then there’s no protection for the company. Anyone could run off and say it is there invention and then all of your hard work has basically been thrown down the drain.

6) Advertising To Investors
Startups are generally prohibited from soliciting investors. The SEC prohibits solicitation to investors unless there is a “substantial and pre-existing relationship” between the company and the prospective investor. While it’s tempting to advertise for startup capital to make business operations run more smoothly, this is not the way to go about it.

7) Forming a 50-50 Partnership
Partnerships sometimes seem like a good idea at first. However, a 50-50 partnership can make it harder to conduct business in the long run. If the partners cannot agree on the direction of the business, or they end up not seeing eye to eye on an issue, it can prevent the business from functioning. Because each partner owns half of the business, nothing can be accomplished.

8. Not Using Contracts For Business
It’s understandable that a startup would conduct business using “handshakes.” However, this is a bad habit. Contracts clarify what services and products will be provided to customers. They also make it clear what each officer in the company, and every employee, is and isn’t responsible for. Not to mention the fact that if for some reason your partner wants to file a lawsuit against you for something that was clearly stated in the beginning a contract is the only thing that is going to help you win your case.

Overall, these are the eight major mistakes that businesses make in the beginning but there are others. These eight are mentioned because they usually carry the most serious consequences. Just be sure that when you are getting ready to become a business owner you double check everything and know the laws. The process may not go as fast as you expected but in the end it is always better to be safe than to be sorry.

I have written this purposely to provide  friendly explanations of major areas of law and also help friends who are small business owners to understand business law. 

                                          "welcome for more clarification"
                                                     By Mengi @2012

                                                     

Friday, August 3, 2012

Business Model

What is a business model?
Your business model defines the way your SME operates. A good business model outlines exactly how you’re going to make your business work and essentially explains how your business is going to make money.
Because your business model combines your vision for your SME (the why) with the means of achieving your vision (the how), it’s critical that you take the time to put one in place and work to refine this on an ongoing basis.
The difference between a business model and a business plan
Don’t confuse your business model with your business plan. Remember that your business plan is an operational document that’s usually in place for a three to five-year period. It outlines your plans to grow your SME and make it sustainable (i.e. expansion projections; how to drive sales; when to introduce new products etc).
Your business model on the other hand, defines how your business will make money. As such, it functions as the engine-room of your business plan, showing you how your business will actually operate.

How to develop your own business model
Develop your own business model by asking yourself the following questions:
  • What is the flow of transaction within my business?
  • Who are the key players involved in making these transactions?
  • What is my value proposition to the market? (What makes my business unique?)

Monday, July 2, 2012

Most Famous people of All the Time

1
 Albert Einstein
51
Darth Vader
2
 Michael Jackson
52
 Charlie Brown
3
 William Shakespeare
53
 Eddie Murphy
4
 Christopher Columbus
54
 Plato
5       
 Walt Disney
55
 Julia Roberts
6
 George Washington
56
 Edgar Allen Poe
7
 Abraham Lincoln
57
 Jim Carrey
8
 Gandhi
58
 Michael J. Fox
9
Elvis Presley
59
 Stephen Hawking
10
 Leonardo Da Vinci
60
 Jane Austen
11
 Mohammad Ali
61
 Bob Dylan
12
 John F. Kennedy
62
 Alfred Hitchcock
13
 Martin Luther King
63
 Houdini
14
 Napoleon
64
 Dr. Seuss
15
 Tom Hanks
65
 James Dean
16
 Bill Gates
66
 Bill Cosby
17
 Spider Man
67
 Britney Spears
18
 Mozart
68
 Ray Charles
19
 Cleopatra
69
 Hillary Clinton
20
 Michelangelo
70
 Pamela Anderson
21
 Thomas Edison
71
 Pele
22
 Marilyn Monroe
72
 Beyonce
23
 Isaac Newton
73
 Jack Nicholson
24
 Ludwig van Beethoven
74
 Dwight D. Eisenhower
25
 Benjamin Franklin
75
 Sigmund Freud
26
 Pablo Piccaso
76
 Meryl Streep
27
 Vincent Van Gogh
77
 Ernest Hemingway
28
 Madonna
78
 Mick Jagger
29
 Michael Jordan
79
 Whoopi Goldberg
30
 Bill Clinton
80
 Elizabeth Taylor
31
 Tom Cruise
81
 Justin Timberlake
32
 Princess Diana
82
 Magic Johnson
33
 Helen Keller
83
 Fred Astaire
34
 Thomas Jefferson
84
 Sean Connery
35
 John Lennon
85
 Alicia Silverstone
36
 Mother Teresa
86
 David Letterman
37
 Ronald Reagan
87
 Paul Newman
38
 Charles Dickens
88
 Steve Martin
39
 Clint Eastwood
89
 Denzel Washington
40
 George W. Bush
90
 Margaret Thatcher
41
 Alexander Graham Bell
91
 Steve Irwin
42
 Paul McCartney
92
 C. S. Lewis
43
 Oprah Winfrey
93
 Jesse Jackson
44
 Neil Armstrong
94
 Jessica Simpson
45
 Robin Williams
95
Jacqueline kennedy Onasis
46
 Mark Twain
96
 Michele Pfeiffer
47
 Harrison Ford
97
 Louis Pasteur
48
 John F. Kennedy, Jr.
98
 Vladimir Putin
49
 John Travolta
99
 Bob Hope
50
 Aristotle
100
 George Carlin

The Most Famous People of All the Time  According to (Times magazine):